MATUKIO MBALIMBALI

SEMINA YA KITAIFA 2011

Kwa mara nyingine tena uongozi wa kanisa la Maranatha Reconciliation unakuletea semina ya kila mwaka ya kitaifa. Kwa mwaka huu wa 2011 semina hii itafanyika wiki ya pili ya mwezi wa Oktoba.

Tarajia mabadilko makubwa utakayopata kupitia semina hii ya ajabu, ambapo mwalimu wa kimataifa Ben Hanegraaff pamoja na walimu wengine watakuwepo kuhudumu neno la Mungu.

 

ANZA KUMBEA SEMINA HII KUANZIA SASA. ORODHA YA MAMBO YA KUOMBEA UTAIPATA KUPITIA UKURASA HUU HIVIKARIBUNI.

Fuatilia semina hii kwenye facebook

Facebook

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Events Rodrick2 Pokea muujiza

Jesus is Lord and Savior

SHUHUDA ZA AJABU
MIUJIZA HAPA

Kwa miaka zaidi ya 20 kanisa la Maranatha Reconciliation limekekuwa likimwakilisha Yesu Kristo kwa kutekeleza agizo kuu la utume alilotuachia, ambapo pamoja na kuhubiri Injili limekuwa likiombea watu walioonewa na shetani kwa kuponya magonjwa, kutoa pepo na nguvi zote za. SOMA SHUHUDA HAPA.

Kwa mawasiliano

Usisite kuwasiliana nasi wakati wowote kwa kutumia anwani na simu zifuatazo:-

Posta: P.O. Box 7812, Dar es Salaam
Simu: +255 719 310021
Others: +255 655 855 553
Email: maranathainfo@maranatha-upendo.org

© Copyright Maranatha Reconciliation Church (MRC), Tanzania Design by Integrity Marketing Communications